Mawakili Peter Kibatala na Dickson Matata wamefungua shauri Mahakamani wakizitaka mamlaka zinazohusika na ulinzi na usalama wa raia na mali zao kuhakikisha zinamtambua alipo au kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na Cuba, Humphrey Polepole, ambaye anadaiwa kutoweka tangu Novemba 6, mwaka huu.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED