Neema kwa kinamama wanaojifungua watoto njiti
KATIKA maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyoadhimishwa jana, serikali imetangaza kuwa kinamama wanaojifungua watoto njiti likizo yao inaanzia pale watoto watakapokuwa wametimiza miezi tisa ya kuzaliwa.