SHIRIKISHO la Soka la Afrika (CAF) limetangaza kikosi bora cha wachezaji 11 wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), iliyomalizika Jumapili iliyopita nchini Morocco.
Katika kikosi hicho, Morocco na Senegal zilizocheza fainali ya michuano hiyo, zimetoa wachezaji wanne kila mmoja, huku Nigeria ikitoa wachezaji watatu.
Senegal ilitwaa kombe hilo baada ya kuifunga Morocco bao 1-0 kwenye fainali.
KIKOSI KAMILI
GOLIKIPA
Yassine Bounou (Morocco)
WALINZI
Achraf Hakimi (Morocco)
Moussa Niakhaté (Senegal)
Calvin Bassey (Nigeria)
Noussair Mazraoui (Morocco)
VIUNGO
Ademola Lookman (Nigeria)
Pape Gueye (Senegal)
Idrissa Gueye (Senegal)
FOWADI
Brahim Díaz (Morocco)
Victor Osimhen (Nigeria)
Sadio Mané (Senegal)
Chanzo: CAF
© 2026 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED